Welcome to M-TZ DIASPORA AWARDS

Ni tuzo maalum za kutambua na kuheshimu michango ya baadhi ya Diaspora ambao wamefanya mambo makubwa Kitaifa na KIMATAIFA

.

Tuzo hizi za Heshima zimesajiliwa na zinatambulika kisheria kupitia mamlaka husika ikiwemo COSOTA.

M-Tz DIASPORA AWARDS zinatarajia kutokewa Mwaka Huu Kwa kuwashirikisha Diaspora kutoka mataifa mbalimbali.

M-TZ DIASPORA AWARDS

- Awards Categories:

    i. Diaspora au kikundi cha diaspora mwenye mchango mkubwa katika jamii, upande wa watoto.

    ii. Diaspora au kikundi cha diaspora wenye Mchango mkubwa Katika Jamii, Upande Wa kusaidia Wazee na walemavu.

    iii. Diaspora anayetumia fedha nchini kwa kutumia benki za ndani.

    iv. Diaspora anayetuma pesa nyingi kwa kutumia kampuni za simu za ndani.

    v. Diaspora au kikundi cha diasipora wenye mchango katika jamii upande wa wamama au wajawazito.

    vi. Diaspora investors bora nchini Tanzania.(upande wa viwanda, shule, kilimo, kampuni, ufugaji, utalii nk.).

    vii. Diaspora au kikundi cha diaspora wanaosaidia kukitangaza Kiswahili kimataifa.

    vii. Diaspora aliyetoa fursa au koneksheni nyingi kwa Watanzania kwenda nje.

    ix. Diaspora au kikundi cha diaspora waliotoa ajira nyingi kwa Watanzania nchini.

    x. Diaspora mwanamitindo bora.

    xi.Diaspora aliyewekeza kwenye kilimo nchini.

    xii. Diaspora mbunifu wa teknolojia.

    xiii. Diaspora msanii/wasanii waliokitangaza Kiswahili kimataifa.

    xiv. Diaspora msanii/mchezaji mwenye ushawishi nchini.

    xv. Diaspora mpishi mgahawa unaopika vyakula vya Kitanzania.

    xvi. Diaspora Promota bora aliyefikisha muziki wa Bongo fleva, duniani na nyinginezo.

    xvii. Diaspora anayepinga ukatili wa kijinsia kwa .watoto.

    xviii. Diaspora mtunza mazingira.

    xix. Diaspora anayefanya kazi katika vyombo vya ulinzi wa nchi za nje.

    xx. Diaspora kiongozi anayesimamia taasisi nje ya nchini NK.

    xxi. Diaspora mwandishi au Mtangazaji bora aliyetangaza au anayetangaza kwa Kiswahili kwenye vyombo vya habari vya Kimataifa.

    xxii. Diaspora au kikundi au kampuni inayotangaza utalii wa Tanzania nje.

M-TZ TAIFA BOOK

--M-TZ Book Criterias

- Orodha ya majina ya Watanzania watakaoandikwa kwenye Jarida la M-TZ TAIFA BOOK


PARTICIPANTS

-How to Participate/ Suggest

Unachotakiwa ni wewe diaspora /kikundi Cha diaspora ambao unaamini una vigezo vya kutunukiwa Tuzo ya heshima.

kujaza fomu ya maswali hapo chini au kumpendekeza diaspora au kikundi Cha Wana diaspora ambao unaamini Wana stahili kupata Tuzo mwaka huu.

-Questionaries

Jaza maswali yaliyoorodheshwa kwenye fomu au email husika ili kuwasilisha taarifa zako au za mtu

unayempendekeza apewe Tuzo ya heshima au kupewa cheti Cha Heshima na makala yake kuandikwa kwenye M-TZ TAIFA BOOK.

-Submit/Instead

Wasiliasha fomu yako ya maswali na majibu au Email yako au Kwa niaba ya unayempendekeza.

Baada ya kuwasilisha fomu au barua pepe yako, utapokea Ujumbe kuhusu Ujumbe wako kupokelewa.

Asante Kwa ushirikiano wako.

Contact us


  • Phone Number
    +255679979785

  • Email Address
    info@mtzdiasporawards.co.tz
  • WhatsApp Number
    +255 (O) 679979785
  • Website URL
    https://mtzdiasporawards.co.tz/

Social Media


Instagram:  mtzdiasporaawards
Facebook:  mtzdiasporaawards
LinkedIn:  mtzdiasporaawards